Teh teh teh teh nacheka kwanza jamani,mtoto kajaliwa maneno huyu mpaka balaa ndo maana twamwita GARI YA MANENO,leo eti kauliza katika kipindi kwamba pata picha mko watu watatu wewe,mumeo au mkeo na mama yakohalafu wanatokea majambazi yanasema yanataka mguu mmoja tu na siyo mguu wako wewe ila wanakupa jukum la kuchagua kwama aukate mguu wa nani kati ya wa mumeo au mkeo au wa mama yako mzazi! Mdau nisaidie ungekuwa wewe ungechagua waukate wanani hapo.
Wednesday, July 8, 2009
PUMZIKA KWA AMANI MFALME WA POP DUNIANI
Monday, July 6, 2009
SIJUI NDO KIFAA CHAKE KIPYA?
RIHANNA APIGWA FAINI
Wednesday, June 24, 2009
KWA MARA NYINGINE!!!!
Monday, June 22, 2009
Wednesday, June 17, 2009
YASIJE TOKEA YA TANDALE....!

Jamani jamani taratibu yasijetokea ya huko Tandale ya wale wapenzi wawli wawili hivi majuzi walipojikuta wakiwa kwenye wakati mgumu baada ya kumaliza shughuli zao za kimapenzi [kujamiiana] kushindwa kuachiana baada ya jibaba kushindwa kutoa nyeti zake kutoka kwenye nyeti za mpenzi wake.
Maana nao walipanga miadi ya kukutana katika nyumba moja ya kulala wageni hukohuko Tandale na wakiwa wanamaliza kupeana maraha,malavidavi,kupeana mahabati,makuchukuchu hotahe kama kawaida jamaa akawa anataka kutoa nje kitu yake na kujikuta hakitoki.
Jamaa ikawa kila akijitahidi kuutoa na kutumia kila aina ya ujanja wake alishindwa kujinasua kwa mwanamke huyo na kuamua kuchukua umamuzi wa kupiga kelele ili wahudumu waingie waje kumnasua lakini nao pia walishindwa na kuwalazimu kutoa taarifa katika kituo cha polisi na kusababisha watu kujaa na kuwashuhudia live .......wakiwa katika libeneke hilo.
Jamani wake za watu na waume za watu nisumuuuu!
SIJUI NITAKUJA VIPI LEO KATIKA JAMBO BEAT!
Tuesday, June 16, 2009
Monday, June 15, 2009
Jambo Beat ya leo ilikuwa poa!
Nikiangaza angaza angalau kupata kidogo mwanga wa jua baada ya kukaa studio saa 3 kuanzia 4asb mpk 7mchn katika Jambo Beat,leo ilikuwa poa maana Bonnie Obama alinifurahisha sana na Historia ya Koffie Olomide japo aliniachia na hamu ya kutaka kujua mengi zaidi juu yake lakini sikutia shaka kwa kuwa najua panapo majaaliwa kesho atatupa muendelezo,agape naye leo katika kurasa za moto mmmmhhh kuna moja ilikuwa kali ya jamaa aliyemkata mwenzie nyeti zake baada ya kumfumania na mkewe basi alimradi raha tupu ndani ya Jambo Beat leo.
Bonnie Obama leo Katika Jambo beat
AGAPE WA MSUMARI
Friday, June 12, 2009
GARI YA MANENO,4 BY 4
Thursday, June 11, 2009
BONNIE OBAMA
B 1, B SINGLE, B WA KWANZA, B ORIGINAL.
Subscribe to:
Posts (Atom)