Friday, June 12, 2009

GARI YA MANENO,4 BY 4

Anaitwa Hatya Omary,Mamaa Sinyorita,Mwarabu wa Dabaga,Gari ya maneno,Medeshee kubwa,4 by 4 yote hayo ni majina yake,yupo naye ndani ya jambo Beat ya Bahati Alex kunako saa 4asb mpaka saa 7mchana ndani ya Ebony Fm,yeye anaingia kwa dakika takriban 7 tu lakini wallah si mchezo atakupa vijimambo vilivyojaa mambo

No comments:

Post a Comment