
Wiki yote iliyopita jamaa katika segment yake ya Jambo Celebrities ndani ya Jambo Beat alikuwa akitupa uhondo wa wale mapacha wawili kutoka hukoooo Nigeria nawazungumzia Petter na Paul Okoye wewe umezoea kuwaita P square,leo jamaa anaanza naye Koffie Charles Olomide,tutamfahamu kiundani hasa wapi kazaliwa,vipi elimu yake na kazi za muziki alianza lini na mengine mengi usiyoyajua kuhusu huyo bwana mkubwa,mkamate Bonnie Obama leo kunako saa 5 ndani ya Jambo Beat ya Ebony fm.
No comments:
Post a Comment