maisha hayaishi mambo, na kila uchao kuna jambo basi karibu tuenjoy pamoja katika jambo beat
Thursday, June 11, 2009
B 1, B SINGLE, B WA KWANZA, B ORIGINAL.
Helo helooooo, mashostito ndo hivyo tena nshagonga hodi bloguni, zile raha na utamu ulozoea kuupata radioni sasa umeingia mtandaoni. wengi walio nje ya nchi wameniomba sana na sasa ndo nshayavulia nguo haya maji mie na nyie, libeneke ndo limeanza. halooooo
No comments:
Post a Comment