
Jamani jamani taratibu yasijetokea ya huko Tandale ya wale wapenzi wawli wawili hivi majuzi walipojikuta wakiwa kwenye wakati mgumu baada ya kumaliza shughuli zao za kimapenzi [kujamiiana] kushindwa kuachiana baada ya jibaba kushindwa kutoa nyeti zake kutoka kwenye nyeti za mpenzi wake.
Maana nao walipanga miadi ya kukutana katika nyumba moja ya kulala wageni hukohuko Tandale na wakiwa wanamaliza kupeana maraha,malavidavi,kupeana mahabati,makuchukuchu hotahe kama kawaida jamaa akawa anataka kutoa nje kitu yake na kujikuta hakitoki.
Jamaa ikawa kila akijitahidi kuutoa na kutumia kila aina ya ujanja wake alishindwa kujinasua kwa mwanamke huyo na kuamua kuchukua umamuzi wa kupiga kelele ili wahudumu waingie waje kumnasua lakini nao pia walishindwa na kuwalazimu kutoa taarifa katika kituo cha polisi na kusababisha watu kujaa na kuwashuhudia live .......wakiwa katika libeneke hilo.
Jamani wake za watu na waume za watu nisumuuuu!
No comments:
Post a Comment