Sasa sijui inakuwaje jamani,Top In Dar,Khaleed Mohamed inasemekana kampiga mtu kwa mara nyingine,amempiga mwanafunzi ukumbini na kutokwa na damu kichwani na mdomoni na tayari amesharipoti polisi,duhhh cjui wadau tusubiri kitakachofuata.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment