maisha hayaishi mambo, na kila uchao kuna jambo basi karibu tuenjoy pamoja katika jambo beat
Wednesday, June 24, 2009
KWA MARA NYINGINE!!!!
Sasa sijui inakuwaje jamani,Top In Dar,Khaleed Mohamed inasemekana kampiga mtu kwa mara nyingine,amempiga mwanafunzi ukumbini na kutokwa na damu kichwani na mdomoni na tayari amesharipoti polisi,duhhh cjui wadau tusubiri kitakachofuata.
No comments:
Post a Comment