maisha hayaishi mambo, na kila uchao kuna jambo basi karibu tuenjoy pamoja katika jambo beat
Monday, July 6, 2009
"BABA CHUKUA"
Mkali wa masauti ambaye kwasasa anatesa na vibao vyake vipya vipya vingi ukiwemo ule wa Zakazaka ambao ama hakika hata mimi naupenda sana akiwa na mtoto wake aitwaye Nuru wakishow love.
No comments:
Post a Comment