Nikiangaza angaza angalau kupata kidogo mwanga wa jua baada ya kukaa studio saa 3 kuanzia 4asb mpk 7mchn katika Jambo Beat,leo ilikuwa poa maana Bonnie Obama alinifurahisha sana na Historia ya Koffie Olomide japo aliniachia na hamu ya kutaka kujua mengi zaidi juu yake lakini sikutia shaka kwa kuwa najua panapo majaaliwa kesho atatupa muendelezo,agape naye leo katika kurasa za moto mmmmhhh kuna moja ilikuwa kali ya jamaa aliyemkata mwenzie nyeti zake baada ya kumfumania na mkewe basi alimradi raha tupu ndani ya Jambo Beat leo.
Monday, June 15, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Big up sana BAHATI,tunakupata vizuri wadau wa blogs...duh aisee navyokuona hapo u look exactly like sister baby baraka chuma,sidhani kama utanikumbuka ila nilisoma cisco hapo ruco , sister baby alikuwa teacher wetu pamoja na midhi magembe.i jst wanted to say hi,mpe hi sister baby pamoja na midhi.....and also dj edo ananifahamu vizuri sana,...nilisikia kipindi chako nilipokuwa likizo,uko juu mtu wangu.salamu zao.HANS aka HANS SENIOR,NEW DELHI-INDIA.
ReplyDelete