Wednesday, July 8, 2009

KIFAA CHA JAMBO BEAT HICHO!


Teh teh teh teh nacheka kwanza jamani,mtoto kajaliwa maneno huyu mpaka balaa ndo maana twamwita GARI YA MANENO,leo eti kauliza katika kipindi kwamba pata picha mko watu watatu wewe,mumeo au mkeo na mama yakohalafu wanatokea majambazi yanasema yanataka mguu mmoja tu na siyo mguu wako wewe ila wanakupa jukum la kuchagua kwama aukate mguu wa nani kati ya wa mumeo au mkeo au wa mama yako mzazi! Mdau nisaidie ungekuwa wewe ungechagua waukate wanani hapo.

PUMZIKA KWA AMANI MFALME WA POP DUNIANI

MWILI WA MICHAEL UKIWASILI STAPLES CENTER
KAKA ZAKE MICHAEL



FAMILIA IKIMFARIJI MTOTO WA MICHAEL

MARIAH CAREY AKIIMBA KWA HISIA KUMUAGA MICHAEL


LONEL RICHIE AKIIMBA KATIKA KUMUAGA MICHAEL


USHER RAYMOND AKIIMBA KWA HISIA KARIBU NA SANDUKU LA MICHAEL


JERNIFER HUDSON AKIIMBA KWA UCHUNGU KATIKA KUMUAGA WACKO JACKO



JOE JACKSON

JERMAIN JACKSON




SANDUKU LA MICHAEL


WATOTO WA MICHAEL

JANET JACKSON


FAMILIA YA MICHAEL JACKSON IKISHUKA KATIKA MAGARI


FAMILIA IMEKUTANA

















Monday, July 6, 2009

SIJUI NDO KIFAA CHAKE KIPYA?


Ni mwanadada Rihanna ambaye kwasasa anatamba na wimbo wake mpya uitwao Te Amo wakiwa makini kuangalia kitu fulani,pembeni yake mi na wewe tuendelee kujiuliza cjui ndo mrithi wa Chriss Brown!

"BABA CHUKUA"


Mkali wa masauti ambaye kwasasa anatesa na vibao vyake vipya vipya vingi ukiwemo ule wa Zakazaka ambao ama hakika hata mimi naupenda sana akiwa na mtoto wake aitwaye Nuru wakishow love.

RIHANNA APIGWA FAINI




Inasemekana kwamba anaweza akapigwa faini ya zaidi ya dola 1000 baada ya kuwachora watu tatoo huku akijua kabisa kuwa hana kibali cha kuwachora hizo tatoo


KUTOZIKWA NA UBONGO

Ni kama anasema " Sijui nivae ipi hapa kwa siku ya leo"
Kuna tetesi kwamba hata kama atazikwa hapo kesho lakini baadhi ya viungo vyake vitaachwa kwaajili ya uchunguzi zaidi ukiwemo ubongo wake,huyo ni mfalme wa Pop duniani Hayati Michael Jackson.